KUTOKA 6 ;6-7 6 Basi waambie wana wa Israeli, Mimi ni YEHOVA, nami nitawatoa ninyi mtoke chini ya mizigo ya Wamisri, nami nitawaokoa na utumwa wao, nami nitawakomboa kwa mkono ulionyoshwa, na kwa hukumu kubwa; 7 nami nitawatwaeni kuwa watu wangu, nitakuwa Mungu kwenu; nanyi mtajua ya kuwa mimi ni YEHOVA, Mungu wenu, niwatoaye mtoke chini ya mizigo ya Wamisri. MATHAYO 15;30-31 30 Wakamwendea makutano mengi wakimletea viwete, vipofu, mabubu, vilema, na wengine wengi, wakawaweka miguuni pake; akawaponya; 31 hata ule mkutano wakastaajabu, walipowaona mabubu wanasema, vilema wanakuwa wazima, viwete wanakwenda, na vipofu wanaona; wakamtukuza Mungu wa Israeli.
https://www.google.com/url?sa=t&source=web&rct=j&url=http://pa1tunaweza.blogspot.com/2016/07/katiba-ya-kikundi-cha-pamoja-tunaweza.html%3Fm%3D1&ved=2ahUKEwi9kKTGvMbsAhWSzoUKHTxkBtAQFjAEegQIBxAB&usg=AOvVaw1FBvkVcPlP8JoUPDwYiJA-
ReplyDelete